HABARI ZA JAMII

WILLIAM LUKUVI AFARIKI DUNIA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kwa masikitiko kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi, kilichotokea leo Machi 25, 2026, majira ya saa moja asubuhi katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, alipokuwa akipatiwa matibabu kufuatia mshtuko wa…

TAMWA ZANZIBAR YATOA WITO WA ULINZI WA WATOTO KIPINDI CHA SIKUKUU YA EID EL-FITRI, WAZAZI WATIA NENO

Na Abdul Sazaka Imeboreshwa saa 3 zilizopita Wakati umma wa Kiislamu visiwani Zanzibar ukijiandaa kwa sherehe za Eid El-Fitri, ambayo huambatana na furaha, mikusanyiko ya kijamii na shughuli mbalimbali za kifamilia, kumekuwa na wito kwa jamii kuchukua tahadhari zaidi ili kuhakikisha usalama wa watoto unalindwa ipasavyo, kufuatia kuongezeka kwa matukio ya udhalilishaji hasa katika kipindi…

WATUMIAJI WA BARABARA WATAKIWA KUONGEZA UMAKINI KUELEKEA SKUKUU YA IDD EL-FITR

NA FAUZIA MUSSA MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri na Usalama Barabarani, Mkadam Khamis Mkadam, amewataka watumiaji wote wa barabara kuongeza umakini na kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa katika kipindi hiki kinachoelekea sikukuu ya Idd El-Fitr, ili kupunguza ajali zinazoweza kuepukika. Wito huo aliutoa alipokuwa akitoa nasaha kwa waumini wa dini…

ZANZIBR YA ADHIMISHA SIKU YA USTAWI WA JAMII DUNIANI

Na mwandishi wetu SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imesisitiza umuhimu wa kusimamia na kuimarisha ustawi wa jamii ili kujenga taifa lenye mshikamano, usawa na maendeleo endelevu kwa wananchi wake. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Ustawi wa Jamii Duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa Ziwani Polisi, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Suleiman Masoud Makame, alisema sekta…

SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE ILIKUJAJE?

Asili ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani inarudi karne moja nyuma, pale harakati za wanawake wafanyakazi zilipoibuka. Mnamo mwaka 1908, wanawake wapatao 15,000 waliandamana mjini New York wakidai muda mfupi wa kazi, malipo bora na haki ya kupiga kura. Mwaka 1910, mwanaharakati Clara Zetkin alipendekeza siku hii kuadhimishwa kimataifa kwenye mkutano wa kimataifa wa…