HABARI ZA JAMII

LAZIMA SERIKALI IONGEZE USHIRIKISHWAJI WENYE TIJA KWA VIJANA ZANZIBAR

Na Abdul Sakaza, Unguja Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imetakiwa kuweka mazingira bora yatakayowawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika masuala ya demokrasia, utawala bora na uongozi ili waweze kuchangia maendeleo ya taifa. Wito huo umetolewa na Msimamizi wa Programu kutoka Pamoja Youth Initiative, Daudi Kasim, wakati wa kongamano la vijana na wadau mbalimbali lililofanyika katika ukumbi wa…

ZRA YAAHIDI KUSAIDIA UTATUZI CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA

Na. Muandishi Wetu. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imesema imeahidi kushirikiana na Serikali na wadau wengine katika kutatua changamoto zinazowakabili wafanyabiashara ili kuleta ustawi wa biashara na ulipaji Kodi Nchini. Hayo yamesemwa leo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar ndugu Said Kiondo Athumani kwa wakati tofauti alipofanya ziara ya kuwatembelea Walipakodi Wakubwa nchini….

WASIOTOA RISITI KUONJA “JOTO YA JIWE”

Na. Muandishi wetu Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imesema itawachukulia hatua za kisheria wafanyabiashara wasiotumia ipasavyo mfumo wa kutolea Risiti za Kielektroniki wakati wa mauzo. Kauli hiyo imetolewa leo Kamishna Mkuu wa ZRA ndugu Said Athumani Kiondo baada ya kufanya ziara ya kukagua uwajibikaji wa Walipakodi ikiwemo matumizi sahihi ya mashine za kutolea Risiti za…