HABARI ZA JAMII

“KALAMU NA HARAKATI ZIWE SILAHA YA MABADILIKO KATIKA JAMII YENU” Waandishi Wa Habari Na Wadau Waaswa Zanzibar

Na Abdul Sakaza Akiipoti Kutoka Zanzibar Imeboshwa Saa 9 Zilizopita Katika hali inayozidi kuonyesha umuhimu wa vyombo vya habari na asasi za kiraia katika maendeleo ya taifa, wadau wa sekta hizo visiwani Zanzibar wametakiwa kuacha tabia ya kuripoti matukio kama simulizi na badala yake kuwa injini ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoididimiza jamii. Akizungumza na…

TUZO ZA UANDISHI WA HABARI ZA TABIANCHI COMMUNITY FORESTS ZIMEZINDULIWA LEO NA TAMWA ZNZ, CFP NA CFI.

Na Abdul  Sakaza Akiripoti Kutoka Tunguu -Mkoa Wa Kusini Unguja Imeboreshwa Saa 9 Zilizopita ZANZIBAR – Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania – Zanzibar (TAMWA ZNZ), kwa kushirikiana na Community Forests Pemba (CFP) na Community Forests International (CFI), kimezindua rasmi Tuzo za Uandishi wa Habari za Tabianchi za Community Forests, zikiwa na lengo la…

KWANINI ZRA IMEVUKA LENGO LA MAKUSANYO YA KODI DISEMBA,WANANCHI WATIA NENO

Na Abdul SakazaAkiripoti kutoka Zanzibarimeboreshwa saa 9 zilizopita Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imetangaza kufanikiwa kuvuka lengo la makusanyo ya kodi kwa mwezi wa Disemba 2025 baada ya kukusanya Shilingi bilioni 90.873 sawa na ufanisi wa asilimia 100.39 ya makisio ya Shilingi bilioni 90.524. Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya ZRA iliyotolewa Januari 02, 2026, makusanyo hayo yanaonyesha ongezeko kubwa ikilinganishwa na makusanyo…