“KALAMU NA HARAKATI ZIWE SILAHA YA MABADILIKO KATIKA JAMII YENU” Waandishi Wa Habari Na Wadau Waaswa Zanzibar
Na Abdul Sakaza Akiipoti Kutoka Zanzibar Imeboshwa Saa 9 Zilizopita Katika hali inayozidi kuonyesha umuhimu wa vyombo vya habari na asasi za kiraia katika maendeleo ya taifa, wadau wa sekta hizo visiwani Zanzibar wametakiwa kuacha tabia ya kuripoti matukio kama simulizi na badala yake kuwa injini ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoididimiza jamii. Akizungumza na…

Stop lying to yourself. If you’re stuck selling one-off pr …